kichekesho kunajamaa arikuwa na baisikeli amem.beba rafikiyake walipo fika maeneyo ya beria ya tirafiki dereva mwenye baisikeli akasimama rafikiyake aka muuliza mbona umesima dereva mwenye baisikeli aka mjibu sina reseni rafiki akacheka sana akasema una baisikeli unaogopa kupita kwenye beria dereva akasema hii baisikeli sikufundishi wa veta sijuwi arama za barabarani na pia tirafiki wakinikamata nimebeba abilia wanaka sh.ling. 30000 namimi sinaata cent mfukon yure rafiki alicheka mpaka aka shikwa kwikwi aka zirahi sababu tirafiki wari kuwa maeneyo yare wewe una dhani nini kitamkuta dereva wa baisikeli asanteni wadau …….
ukiwa mshabiki wa arsenal hata mke unapata kirahisi kwasababu umeweza kuvumilia toka miaka hiyo mpaka leo unashabikia hata ukioa unaweza ukaka nae mpaka siku ya kufa utataka ufe nae
ni hatri
nmependa
Nzuri nimeipenda
Ni sheeeeeeeeeeedah!!
Wanatisha!!!
Asanteni kwa sms.
ha!
noma sana
Na mimi si nijiunge plz naweza wacheshaa!
kichekesho kunajamaa arikuwa na baisikeli amem.beba rafikiyake walipo fika maeneyo ya beria ya tirafiki dereva mwenye baisikeli akasimama rafikiyake aka muuliza mbona umesima dereva mwenye baisikeli aka mjibu sina reseni rafiki akacheka sana akasema una baisikeli unaogopa kupita kwenye beria dereva akasema hii baisikeli sikufundishi wa veta sijuwi arama za barabarani na pia tirafiki wakinikamata nimebeba abilia wanaka sh.ling. 30000 namimi sinaata cent mfukon yure rafiki alicheka mpaka aka shikwa kwikwi aka zirahi sababu tirafiki wari kuwa maeneyo yare wewe una dhani nini kitamkuta dereva wa baisikeli asanteni wadau …….
ukiwa mshabiki wa arsenal hata mke unapata kirahisi kwasababu umeweza kuvumilia toka miaka hiyo mpaka leo unashabikia hata ukioa unaweza ukaka nae mpaka siku ya kufa utataka ufe nae
Nzr