Kuna kaka mmoja alimchukua dada mmoja na kwenda nae katika kioksi kwa ajili ya mazungumzo. Walipofika na kukaa tu katika vitu yule kaka akamuuliza yule dada, “unatumia whatsapp”, yule dada akajibu majestikale kabisa , “ndio natumia sasa sana za baridi, nimeachana na bavaria siku hizi..”
May
15
2014
Jameni kusipo juwa kuleta shida na labda kaka huyo kasahawu kumununuliya kinywaji naye dada alikuwa nakiwu. Ningewasi mbele ya yote muulize mweziyo anataka nini mbele ya mambo ao maneno. Hahahahaaaaaaaaaaaaha
haa
duh noma kwel??
i lake
i lake?
Hahahahahha
i like dat
inaburudisha
Vichekesho hv vikal sana. bigup sana
Share photos
hhhhhhhh funny
Pingback: {Vichekesho} Unatumia whatsApp?
Hihh!! Huyo Dem Gumash Kweli