SOMA KICHEKESHO HIKI HAPA http://vichekesho.tanzaniasite.com/2013/06/27/vichekesho-swali-kwa-washikaji-wa-kitaa-tu/
VICHEKESHO HIVI VYOTE NA VIPYA VINAENDELEA KUCHAPISHWA KATIKA TOVUTI YETU YA http://vichekesho.tanzaniasite.com/
USIKOSE KUJISAJILI UPYA ILI KUENDELEA KUPATA VICHEKESHO KWA EMAIL
Nymba
nyumba ina paa juu na ndege pia ina paa juu hewani
huu ni utata
Hiyo ni sentesi tata. Ila juu inajulikana ni angani kwa hiyo ni ndege.
Ndege
Vyote vna paa ila n neno lenye maana zaid 1.
apo me naona nyumba ndo ina paa juu.
haha ha ha ahhahaaaaaa 🙂
Hapa bwana tuko pamoja kijiweni.
mmhhh hiyo tungo tata men!!!!!! ila hiyo ni tungo tata paa kuna kupaa hewan na paa la nyumba full stop
Tatetetet
Hii ni tungo tata ila nadhani inaeleweka kwamba kimoja kimoja kina paa juu ya kingine
hiyo kal lina paa
Paa ni sehemu ya juu ya nyumba pia paa ni kitendo cha kitu kuruka angani
nyumba
me n artist
me the king artist
hivi kupeleka ngultwe mskutn, na kufanya fujo jeshin, lipi n gumu..???
Nyumba tu ndiyo ina paa lakini ndege ina bodi.
Paa la nyumba na angani
duh zote zina paa
vyote vina paa!!
Haaa! C ilo ni paa la nyumba au kivingne ni ktu kinacho ruka
Oky.
I like the vichekesho
Mwanangu mi hamnikuti kwa vichekesho!
Hahaha! ilike vichekesho (YAANI NISHIDA)
I love it!
Vyote vina paa
Naombeni vichekesho.
Naombeni mnitumie vichekesho.
Thats Fine, U Wont Get Sick When U Laugh Instead When U Laugh, U Gain A Day On A Single Laughter.
Mchakacho Wa Kuvunja Mbavu.
Pingback: {Vichekesho} Swali kwa washikaji wa kitaa tu!
Kali sana